Skip to main content

Posts

Featured

BRAND NI NINI?

Katika ulimwengu wa biashara ni lazima utasikia neno brand mara kwa mara. Je brand ni nini? Brand ni utu na mwonekano unaotengenezwa na mwenye biashara au kampuni unaotofautisha biashara  ama kampuni yake na  zingine zinazofanya kazi kama zake. Brand ni utu wa kampuni ama biashara. Brand inajumuisha kwanzia jina, nembo, rangi, mpangilio wa kazi na mzingira hadi tabia na hulka za watendaji wake katika kampuni ama biashara. Brand ni vile biashara au kampuni inavyo husina na wateja wake. Mara nyingi tukiongelea brand watu hudhani ni nembo na rangi za kampuni tu, lahasha hivi ni viashiria vya brand, vitu viavyoonesha brand. Ila brand ili ikamilike inahitaji viashiria vyake (brand identities) pamoja na utu (personality) wake. Brand ni vile kampuni au biashara inavyoonekana kwa nje hadi tabia na hulka za watendaji kazi wake. Kampuni ama Biashara inapotaka kutengeneza brand yake inaanza na kutathmini ni mambo yapi inataka kutatua kwenye jamii na inataka jamii iichukuliaje. Baada ya h...

Latest Posts

NAMNA YA KUTUMIA MUDA WAKO VIZURI ILI KUFANIKIWA KATIKA SHUGHULI ZAKO.

MAMBO UNAYOHITAJI ILI KUFANIKIWA KAMA MJASIRIAMALI.

SABABU ZA KUKOSA UJASIRI WA KUKOPA BENKI.

MBINU MBALI MBALI ZA KUWEZA KUWEKA MAHUSIANAO MAZURI NA KUWAVUTIA WATEJA ILI WAENDELEE KUWA WATEJA WAKO.

UMUHIMU WA KUWA NA BUSINESS CARDS

JE UMESIKIA KUHUSU HUDUMA YA FAX TO EMAIL?

MANENO HATARI YA KUTUMIA KWENYE MIPANGO YA BIASHARA

MAMBO MUHIMU KATIKA BIASHARA

NENO LA LEO

FURSA YA TANGAZA BIASHARA KUPITIA MTANDAO WA JAMII FACEBOOK