JE UNAIJUA FURSA ILIYOPO YA KUTANGAZA BIASHARA KUPITIA WAVUTI NA MITANDAO YA SIMU?



Twakimu zinaonesha kuwa:

kunaongezeko la watumiaji wa wavuti (interneti) nchini Tanzania kutoka asilimia 5.8 mwaka 2006 hadi kufikia asilimia 12 mwaka 2011.

Pia ongezeko la watumiaji  wa mitandao ya simu nchini Tanzania ni kutoka watu millioni 8.3 yani asilimia 20.75 hadi kufikia watu millioni 25.7 yani  asilimia 55.9 mwaka 2011.

Kwa twakimu hizi ni dhahiri kuwa mitandao hii ya wavuti na simu ni fursa kubwa sana kwako wewe ukiwa kama mjasiriamali na mfanyabiashara ya kuweza kutumia kuwafikia wateja .

Je unatambua fursa hii na kuitumia kuwafikia wateja wako?


Comments

Popular Posts